Bauernprodukte

Kategorie:Oberoesterreich: Bauernprodukte:


Inaripotiwa kuwa baadhi ya watumishi wamekumbwa na makato yasiyoeleweka ya takribani asilimia 3% kutoka kwenye mishahara yao. Hali hii imezua taharuki na maswali mengi miongoni mwa watumishi wa umma.
https://www.jamiiforums.com/threads/serikali-yafyeka-mishahara-ya-watumishi.2355069/
 JAMIIFORUMS


Wasalam mabibi na mababu Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza Toka mwezi March tarehe 24 kulitoka tangazo la mikopo ya Hazina isiyo na Riba kwa watumishi takriban Halmashauri Nyingi Tu Nchini Dirisha la kuomba kupitia Hazina Portal liliwekwa mpaka Tarehe 5 April. Baada ya hapo kukawa na...
https://www.jamiiforums.com/threads/hivi-mikopo-ya-hazina-kwa-watumishi-wa-umma-inachukua-muda-gani-kupewa.2333113/
 JAMIIFORUMS


Maneno ya watumishi wa Mungu ujumbe wao na baraka wanazotoa hubakia kwako wewe. Hivyo ni vizuri kuwaheshimu kuwatia moyo. Pia ni vizuri kuwahudumia na kuwategemeza watumishi wa Mungu kulingana na taratibu zilizowekwa na kanisa.
https://www.jamiiforums.com/threads/wajibu-wa-waumini-kuhudumia-na-kuwategemeza-watumishi-wa-mungu.2290263/
 JAMIIFORUMS


Mkuu wa Idara ya Wateja Binafsi na wa Kati kutoka Benki ya Exim Tanzania Bw. Andrew Lyimo (kati) akizungumza wakati wa kutangaza maboresho ya huduma yao ya ?Wafanyakazi Loan? ambayo sasa inajumuisha suluhisho la uchukuaji wa mikopo kwa watumishi wa umma kupitia mfumo wa ?Utumishi Portal?...
https://www.jamiiforums.com/threads/benki-ya-exim-tanzania-yaboresha-uchukuaji-mikopo-kwa-watumishi-wa-umma-kupitia-utumishi-portal3.2325105/
 JAMIIFORUMS


Kwa mwezi huu wa Novemba 2024 Serikali imelipa mishahara siku ya Ijumaa kwa watumishi wake na kwa wale wastaafu wanaopokea fedha zao. Cha kusikizisha kuna baadhi ya watumishi wa umma nikiwepo mimi Binafsi sijapokea mshahara wangu.
https://www.jamiiforums.com/threads/mishahara-kwa-watumishi-wa-umma-novemba-2024-kwanini-serikali-haikulipa-mishahara-kwa-baadhi-ya-watumishi-hadi-leo.2280931/
 JAMIIFORUMS


Wakati Serikali inapambana kuhamisha kwenye Mifumo zaidi na kupunguza "paper work" kuboresha ufanisia wa kazi. Mabenki yanapambania fursa za kuboresha maisha ya watumishi kwa njia ya mikopo. Hivyo zile enzi za mwalimu kusaga na lumba kutembelea mabenki kuuliiza uliza habari za mikopo na kujaza...
https://www.jamiiforums.com/threads/fursa-ya-mikopo-kwa-watumishi-kupitia-ess-portal.2252535/
 JAMIIFORUMS


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuupiga mwingi kwa kutoa kibali cha kurekebisha posho ya kujikimu ya safari za ndani ya nchi kwa Watumishi wa Umma na kiwango cha malipo ya kazi maalum (Extra Duty) kwa Watumishi wa Umma nchini ambapo utekelezaji wake unaanza rasmi tarehe 01 Julai 2022.
https://www.jamiiforums.com/threads/rais-samia-apandisha-kiwango-cha-posho-ya-kujikimu-ya-safari-za-ndani-ya-nchi-na-malipo-ya-kazi-maalum-kwa-watumishi-wa-umma.1986661/
 JAMIIFORUMS


Watumishi wa umma tumekua tukiomba nyaraka za madai ya madeni yetu mara kwa mara ila hayafanyiwi kazi. Watumishi wengi wa umma wanaidai serikali malimbikizo ya madai mbalimbali ikiwemo kupanda daraja likizo uhamisho nk lakini mchakato wa kulipwa imekua danganya toto. Serikali kuu imekua na...
https://www.jamiiforums.com/threads/madai-ya-malimbikizo-ya-madeni-ya-watumishi-ni-mchezo-wa-paka-na-panya.2225390/
 JAMIIFORUMS


Haki na Wajibu wa Mtumishi wa Umma. Mtumishi wa Umma una wajibu wa kutumia elimu ujuzi na bidii katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Kadhalika una haki na stahiki mbalimbali unazopaswa kuzipata kutoka kwa mwajiri wako kama ifuatavyo:- 1. Kupewa Mkataba wa Kazi (Barua ya Ajira) Mtumishi wa...
https://www.jamiiforums.com/threads/haki-na-wajibu-kwa-watumishi-wa-umma.2038105/
 JAMIIFORUMS


Sasa mkuu watumishi ni walimu peke !? Au ukisikia neno watumishi maana ya haraka inakuja walimu by the way hiyo sms ni copy and paste ungeqndika hivyo mwishoni ili tujue kuwa umekopi ili watu wakianza kuuliza maswali yasikushinde
https://www.jamiiforums.com/threads/jinsi-ya-kutumia-mfumo-wa-utumishi-ess-na-pepmis.2166862/
 JAMIIFORUMS



Mittel gegen Ängste, Panikattacken und Burnout - www.shyx.cc